Wimbi La Siasa

Kenya: Kutuma polisi wake nchini Haiti kuthibiti magenge ya wahalifu

Informações:

Synopsis

Serikali ya Kenya na Haiti zimetiliana  saini ili kufanikisha Kenya kutuma polisi wake nchini Haiti kudhibiti magenge ya wahalifu ambayo yameendelea kutatiza usalama nchini Haiti. Katika makala haya Domic Wabala mchambuzi wa usalama na dkt Braine Wanyama, mchambuzi wa siasa za kimataifa wanatathimini nini maana ya Kenya kutuma polisi kule Haiti.