Wimbi La Siasa

Chama tawala nchini Kenya, kwenye njia panda migawanyiko ikishuhudiwa

Informações:

Synopsis

Nchini Kenya, malumbano ya kisiasa yameanza kushuhudiwa kati ya rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua, malumbano hayo yametokana na tofauti za kisiasa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2027. Kuna hofu kwamba wandani wa rais William Ruto wanawatumia wabunge vijana kutoka ngome ya naibu rais kumtatiza kisiasa hili likiibua malumbano makli ya kisiasa nchini Kenya.Benson Wakoli hapa anachambua swala hili na mchambuzi wa siasa Felix Arego.