Sbs Swahili - Sbs Swahili
Jinsi utovu wa sheria Israel unaathiri wakulima wa Palestine
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:11:26
- More information
Informações:
Synopsis
Kwa mtengenezaji wa mvinyo wa Kipalestina kutoka Australia, Sari Kassis, ukweli wa kilimo katika Ukingo wa Magharibi ni hali ya hatari ya kila wakati, kimwili na kiakili. Kwa kuongezeka kwa vurugu za walowezi katika Ukingo wa Magharibi, mavuno ya mwaka huu yameona idadi ya juu zaidi ya mashambulizi ya Waisraeli kwenye mashamba na mali.